Uwanja wa Taifa, tatizo vifaa au mfanyakazi kataka hivyo?

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Huyu ni mfanyakazi uwanja wa Taifa akiwa katika maandalizi ya kuutayarisha uwanja kuelekea mchezo wa leo TPL.

Inawezekana vipi huyu mfanyakazi wa uwanja huu kuu wa Taifa, asiwe na vifaa vya kujikinga na hatari yoyote ile bila kuwa na Overall, Gamboots, gloves? Kulikoni hapo?
 
Kemikali ni hatari kwa afya. Chokaa ama Rangi.
 
upo sahihi
Huyo ni mpumbavu,chaki,chokaa,rangi ni kemikali
Alitakiwa awe na PPE kujikinga
 
OSHA wapo bussy kwenda kudai rushwa kwenye makampuni ya watu binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…