Salaam wanaJF. Leo mahala ambako mpenda soka anatakiwa awe ni Uwanja wa Taifa. Poleni kwa wale ambao hawatakuja kutokana na sababu mbalimbali. Msijali nitawawakilisha vyema.
Salaam wanaJF. Leo mahala ambako mpenda soka anatakiwa awe ni Uwanja wa Taifa. Poleni kwa wale ambao hawatakuja kutokana na sababu mbalimbali. Msijali nitawawakilisha vyema.