Uwanja wa Uhuru sio rafiki kwa simba sc kupigania ubingwa ninani aliwachagulia? Bora watumie CCM Kirumba

Uwanja wa Uhuru sio rafiki kwa simba sc kupigania ubingwa ninani aliwachagulia? Bora watumie CCM Kirumba

Mjiulize wenyewe ni kwa nini wenzenu Yanga wanatumia uwanja wa Chamazi, halafu nyinyi mnatumia wa Uhuru.
 
Ule uwanja una mapungufu mengi hata sijui ninani alipendekeza ,uhuru ni uwanja wa mazoezi sio ligi
Simba hawezi kwenda Kirumba, anauogopa balaa. Atakwenda kote ila sio kule. Yanga ndiyo uwanja wao.
 
Back
Top Bottom