Uwanja wanaotumia Jwanneng Galaxy pitch ni mbovu

Jbst

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
1,971
Reaction score
4,085
Hii team ni mbovu sana aisee, naangalia hapa mechi yao dhidi ya asec hata ikitokea wameshinda ni ngekewa tu ila hii team mbovu.

Na huu uwanja wao kabisa ni takataka eneo la kuchezea, hapa hata Wydad akienda atapata sare maana uwanja hauruhusu team icheze soka lake.
 
Na iyo jwaneng ndiyo mwakarobo alishindwa kupata ata goli moja🤣🤣🤣
 
Hawa jamaa wanavyocheza dah ndo maana Wydad walilalamika kufungwa nao kwa kutumia mbinu za kiafrica 😃🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…