Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiwaongoza Watendaji wa Wizara hiyo, Wadau mbalimbali wa Sekta hiyo na baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kuingia katika viwanja vya Bunge kwa ajili ya kushuhudia uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2023/24 leo Juni 3, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.