Tetesi: Uwazi wa RC Makonda na StarTv siri hii hapa nje ndani

Duuuh,hii ni hatari lkn hili ni kaburi analolichimba yeye mwenyewe Dialo juu ya Kampuni yake ya Sahara.........lete vitu mkuu......hivi huyu Bashite ana nini na Baba Bashite? Haki ya nani!!
Bashite pesa zote za mkulu za ununuzi ndege kwa cash zimepitia kwake na sasa bomba la mafuta toka Tanga mpaka Uganda 10% ya mkulu inapitia kwa Bashite Daud, pia ule unga aliochukua toka kwa wafanyabiashara mwingi umepelekwa Africa kusini na huko kamtuma Dialo kwenda kuchukua pesa awalipe mishahara wafanyakazi wake haraka haraka kabla ya jumapili ambapo Gwajma kapanga kumwaga siri zote za Star TV
 
Wapo busy kwa waganga wa kienyeji na pia kuhakikisha kuwa kasoro na mapungufu yote ya Sahara na star TV yanafichwa haraka wafanyakazi wageni wasio na vibali vya kazi Uhamiaji wanakesha usiku na mchana kuwatengenezea vibali haraka huku mishahara ikianza kulipwa kwa kasi kubwa kabla Gwajma hajaanika ukweli wote jumapili.
 
Duuh,haya ni makubwa aisee!!!
 
Gwajma sasa anawindwa na kikosi cha Daud Bashite abambikiwe kesi alale ndani siku ya ijumaa atoke jumatatu ili siku akitoka jela anakuta Dialo kalipa madeni yote na kushindwa kuwambia Ukweli , Gwajma awe makini kwani Daud Bashite anamwinda sana.
 
YAN MTOA MADA AMEANDIKA VEMA SANA KAMA VILE WANASHINDA KUTWA NZIMA NA MAKONDA...
VITU VYA SIRI KAMA HIVYO AMEVIJUA VIPI????
NCHI YA KUSADIKIKA
 
YAN MTOA MADA AMEANDIKA VEMA SANA KAMA VILE WANASHINDA KUTWA NZIMA NA MAKONDA...
VITU VYA SIRI KAMA HIVYO AMEVIJUA VIPI????
NCHI YA KUSADIKIKA
Siri ni chooni ukiwa peke yako lakini mkiwa wawili hakuna Siri tena
 
YAN MTOA MADA AMEANDIKA VEMA SANA KAMA VILE WANASHINDA KUTWA NZIMA NA MAKONDA...
VITU VYA SIRI KAMA HIVYO AMEVIJUA VIPI????
NCHI YA KUSADIKIKA
Siri ni chooni ukiwa peke yako lakini mkiwa wawili hakuna Siri tena
 
Porojo ulojo watu wanajadili siku hizi jf kichaka cha habari za kitoto zenye udaku mwingi kulilo uhalisia.
 

"INASEMEKANA" The whole story.
Wabongo tunauwezo mkubwa wa kubuni strory za kufikirika kuliko kubuni njiti ya kiberiti..
 
Porojo ulojo watu wanajadili siku hizi jf kichaka cha habari za kitoto zenye udaku mwingi kulilo uhalisia.

Sure! Hizi story za kufojifoji na kuunganisha matukio zinaishushia hadhi JF
 
Sure! Hizi story za kufojifoji na kuunganisha matukio zinaishushia hadhi JF
Siku za mwanzo ukikutana na habari hapa jf unakuwa na uhakika na mleta taarifa lakini siku hizi jf ni sehem ya habari za kutunga na kuongopa
 
Kama ni kweli, nchi hii kupiga vita rushwa ni ndoto
 
Mapessa hii siri umeitoa wapi mbona majanga sasa iiinji hii !!! Bashiteee, wapo tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…