Friedrich Nietzsche JF-Expert Member Joined Sep 22, 2022 Posts 2,095 Reaction score 3,649 Jun 17, 2024 Thread starter #21 castieltsar said: unachojaribu kukikimbia ndo kitu cha msingi kwenye what so called "biashara".....usiwahii jidanganya hivyo unapotea usimamizi ni pumzi kwenye biashara yeyote ile Click to expand... etiii
castieltsar said: unachojaribu kukikimbia ndo kitu cha msingi kwenye what so called "biashara".....usiwahii jidanganya hivyo unapotea usimamizi ni pumzi kwenye biashara yeyote ile Click to expand... etiii
Kidagaa kimemwozea JF-Expert Member Joined Jul 13, 2018 Posts 3,680 Reaction score 6,554 Jun 17, 2024 #22 UTT weka 100M unapata almost 1M per month
Friedrich Nietzsche JF-Expert Member Joined Sep 22, 2022 Posts 2,095 Reaction score 3,649 Jun 17, 2024 Thread starter #23 Newbies said: UTT weka 100M unapata almost 1M per month Click to expand... 1% x 100,000,000=1,000,000/= Hii iko vizuri sasa kupata hiyo milion mia moja ndo mtihani
Newbies said: UTT weka 100M unapata almost 1M per month Click to expand... 1% x 100,000,000=1,000,000/= Hii iko vizuri sasa kupata hiyo milion mia moja ndo mtihani
Friedrich Nietzsche JF-Expert Member Joined Sep 22, 2022 Posts 2,095 Reaction score 3,649 Jun 17, 2024 Thread starter #24 Newbies said: UTT weka 100M unapata almost 1M per month Click to expand... Watu hii idea walikua hawaifikirii
Newbies said: UTT weka 100M unapata almost 1M per month Click to expand... Watu hii idea walikua hawaifikirii
The only JF-Expert Member Joined May 19, 2011 Posts 10,805 Reaction score 14,181 Jun 21, 2024 #25 Nunua bond
jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 20,419 Reaction score 39,217 Jun 21, 2024 #26 Zero management?? Labda ufe tu
Vien JF-Expert Member Joined Mar 6, 2020 Posts 6,585 Reaction score 10,363 Jun 21, 2024 #27 Tuache uvivu, Biashara yoyote inahitaji Commitment ya hali ya juu