Uwekezaji gani utalipa sana Tanzania?

Uwekezaji gani utalipa sana Tanzania?

MKIBAIGWAsharkss

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2017
Posts
572
Reaction score
1,331
Kama na wadau wengine walivyoeleza idadi ya watu kwa Tanzania inakua kwa kasi sana wakati ardhi iko fixed hivyo basi kupelekea thamani ya ardhi kupanda kila uchao.

Kwa maoni Yangu na analysis zangu badala ya MTU kuwekeza kwenye bond ni bora zaidi na faida kuwekeza kwenye ardhi au Real Estate business.

Ina faida sana kulinganisha na biashara nyingi na itakuwa na faida kadili siku zinavyoongezeka.

Screenshot_20220207-040947_1.jpg


Ndio mana tumekuletea suluhisho la kupata Nyumba nzuri na viwanja vya uhakika vyenye hati na ukubwa wa kutosha kutoka Dodoma.
Nyumba na viwanja vipo iyumbu vina bara zote ,maji na umeme.

Tumewauzia Nyumba na viwanja black Americans, Wachina na Watanzania wengine.

Pia kama utataka kununua projects yote ambayo ni sq 500k na ndani yake kuna Nyumba 300 wasiliana nasi +255 717 163 462View attachment 2111145View attachment 2111147View attachment 2111150View attachment 2111148View attachment 2111149View attachment 2111146View attachment 2111151View attachment 2111152View attachment 2111153

Maeneo ni mazuri sana na Nyumba ni za kisasa .miliki Nyumba na viwanja sasaView attachment 2111159View attachment 2111157View attachment 2111158View attachment 2111156View attachment 2111155View attachment 2111160View attachment 2111161View attachment 2111163View attachment 2111162
 
Hamna biashara ambayo hailipi ukiwa na mtaji mkubwa!

Biashara ambazo running costs zinakuwa 70% faida 30% zinasua sua sana! Zikipigwa na dhoruba tu chali
Hujakosea sema sikuhizi utapeli nao umekuwa mwingi kwenye mambo ya ardhi
 
Back
Top Bottom