Uwekezaji katika secta ya kilimo unanafasi kubwa kutukomboa vijana kibiashara?

chawala_jr

Member
Joined
Aug 16, 2017
Posts
7
Reaction score
5
Kumekuwa na tatizo kubwa la ajira nchini tanzania lakini je? Tatizo ni mfumo wetu wa elimu au sisi vijana kukosa ubunifu na uthubutu katika kujiajiri?

Asilimia 75 ya watanzania nI vijana na katika nchi yetu tumejaaliwa kuwa na ardhi yenye rutuba ya kutosha. Wafanyabiashara wengi Mf. Mohamed Dewji anahimiza vijana kujikita katika kilimo ili kupata mafanikio.

Kumekuwa na changamoto nyingi zinazowakumba vijana kuingia katika aina hii ya kilimo na biashara.. mojawapo ikiwa ni mtaji na uoga wa kufanya mambo. Je tukiwekeza nguvu kwenye itasaidia kutukomboa katika kujiajiri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu inawezekana ila unapaswa kupamaba wewe kama wewe. Chalanhe kubwa ni aibu na uoga.

Vijana wako mjini hawataki kulima ukiwauliza hawana mtaji. kwa kifupi anacho sema MO ni kweli kabisa kilimo ndo sekita ambayo haijangiliwa sana hata na wageni na wengi wa wageni wana dili sana na Cash crop kama Kahawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweri....tuwahamasishe vijana kuzijua fursa na kuzitumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…