Uwekezaji Kisarawe

LOVE U JF

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2015
Posts
2,138
Reaction score
1,639
Wadau bila kupoteza wakati.

Kisarawe ni Wilaya mojawapo ya Mkoa wa Pwani, na hapa nalenga eneo la Kisarawe Maneromango au kama wenyeji wapaitavyo Mango, nimeweza kugundua yafuatayo ambayo ndyo sababu ya kuandika uzi huu ili wadau mnisaidie mawazo
1. Usafiri kutoka Dar had hapo niwa uhakika
2. Usafiri ndani ya eneo husika ni boda au baiskeli
3. Mashamba yapo na kilimo cha biashara ni machngwa na mihogo na ufugaji wa kienyeji ( kuku mbuzi n.k)

Sasa ombi langu, nafikiria biashara gani naweza fanya ikanilipa? Kama kuna anayepafahamu Mango au mwenye uzoefu na maeneo hayo anakaribishwa.

Kuna jamaa aliniambia nichimbe kisima cha maji kwa ajili ya kuwauzia wana kijiji (kuna uhaba wa mzji) ila bado nahitaji mawazo zaidi
 
Kutoka kisarawe mpaka kibaha ni umbali ama muda gani kwa gari (gari za abiria)
 
Kutoka kisarawe mpaka kibaha ni umbali ama muda gani kwa gari (gari za abiria)
Gari za abilia ni taklibani saa 1 na dakika 40 na kitu kutokana na kushusha na kupakia abiria na mizigo hapa na pale na nauli n sh 3500 ila kina noah au gari ndogo kwa risali 1 nauli 5000
 
Nipo kurui hapa, huku chibuku imeadimika mkuu.
 
mkuu uko bongo au?pls siufanye kitu tunaita fesebility study ya area husika, na hio itakusaidia sana maana utakuwa on the ground, hata kaa utaenda hapo ukodi guest kwa wiki 2 au 3 ni la muhimu sana, uongee na watu hapo, ujionee wewe binafsi na kisa hata usikilize watu wanaoishi pale, hio itakusaidia sana mkuu, kutegemea watu hapa si vizuri vile maana wengine watakupa ushauri waliousikia toka kwa mtu na pia huyo mtu nae kasikia toka kwa mtu, hope you get the drift mkuu, all the best, nothing is as important as a fesability study if you want to succeed in whatsever you want to do sir, be blessed
 
Nice Sir & thanks 4 yr time and the crusial ideas , ni kwel niko dar na pale nimenunua kieneo kama ekali 2 thus why nikataka nianze kukusanya mawazo hapa hoping that maybe ningepata mwenyeji wa kule for best commencement ya kubaini hidden opportunities
 
mkuu fanya hivi ona zao ambalo ni la muda mfupi la kulima huko ambalo lina bei nzuri mfano viazi mihogo etc then leta mjini wakati unarudi nunua mavyombo ya plastiki chupa za chai ndoo mabeseni etc haya utayapata kwa bei nzuri pale kiwandani cello rudi nayo, hivyo wakati unatoa kitu rudi na kitu utapiga hela moja nzuri,,, hata kama huna duka ila ukizunguka na hivyo vyombo fasta vinatoka,
 
lakini pia sio lazima ulime unaweza ukacheza na zao ambalo huko ndio msimu wake,, mf mahindi ya kuchoma, machungwa, mafenesi, mihogo etc
 
Welcame sir, but pls get first hand information by visiting the place, it will give you a very clear picture of what you want to do, again all the best
 
JF OYEE,HKIKA UMEJUA KUWA KARIBU NA SOKO,ILA HII NI BILION IDEA TENGA LAKI TATU KAJIFUNZE MWENYEWE HUMU WENGI HAWAJUI KITU,OK NA MIMI
 
JF OYEE,HKIKA UMEJUA KUWA KARIBU NA SOKO,ILA HII NI BILION IDEA TENGA LAKI TATU KAJIFUNZE MWENYEWE HUMU WENGI HAWAJUI KITU,OK NA MIMI
BARIKIWA NDUGU , USHAURI WAKO NITAUFANYIA KAZI ILA NAOMBA UFAFANUZI WA HIYO 300 K NIKAJIFUNZE COURSE GANI MKUU?
 
Welcame sir, but pls get first hand information by visiting the place, it will give you a very clear picture of what you want to do, again all the best
WORRY NOT SIR , THIS IS GOING TO TAKE PLACE SOON AS POSSIBLE
👏 WITH THANKS
 
BARIKIWA NDUGU , USHAURI WAKO NITAUFANYIA KAZI ILA NAOMBA UFAFANUZI WA HIYO 300 K NIKAJIFUNZE COURSE GANI MKUU?
course ? acha akili za shule ,nenda kule nauli haizidi 5000 panda daladala ,kakae gesti ya 5000 hadi 10,000 wiki moja ongea na watu kumi kirefu wasio juana 3 wakulima 3 wasafirishaji ,3 wengineo ikiwemo afisa kilimo
 
course ? acha akili za shule ,nenda kule nauli haizidi 5000 panda daladala ,kakae gesti ya 5000 hadi 10,000 wiki moja ongea na watu kumi kirefu wasio juana 3 wakulima 3 wasafirishaji ,3 wengineo ikiwemo afisa kilimo
Akili za shule ?
Nimecheka kidogo Ila nashukuru mkuu na nimekusoma barabara
 
Mkuu vipi ulishaanza huu mpango wako huko kisarawe, kama umeshaanza tayari naomba nikutafute maana na Mimi nataka Nije huko mkuu
 
Mkuu vipi ulishaanza huu mpango wako huko kisarawe, kama umeshaanza tayari naomba nikutafute maana na Mimi nataka Nije huko mkuu
Mkuu mambo mengi na mda n mchache cjafanikiwa kivile ila nimepiga hatua furani na yote n kwasababu ya changamoto za hapa na pale ila mwaka huu tunaokwenda kuuanza nitakua nimepiga hatua kubwa, karibu tuunganishe nguvu tujikwamue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…