Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Unit Trust Fund of Tanzania (UTT)
Katika maelezo niliyoyapata kidogo kwenye internet ni kwamba wananchi wanawezw kufaidika kupitia wao kwa kununua hisa, but how does it works? Ni hisa kiwango gani cha chini (minimum) ambacho mwananchi anaweza kununua? Hisa zao zinafaida?
Mwenye taarifa kamili kuhusu hawa watu amwage taarifa zote hapa.
Katika maelezo niliyoyapata kidogo kwenye internet ni kwamba wananchi wanawezw kufaidika kupitia wao kwa kununua hisa, but how does it works? Ni hisa kiwango gani cha chini (minimum) ambacho mwananchi anaweza kununua? Hisa zao zinafaida?
Mwenye taarifa kamili kuhusu hawa watu amwage taarifa zote hapa.