Z zakarya Member Joined Nov 1, 2015 Posts 36 Reaction score 5 May 23, 2019 #1 Ninatafuta partner kuwekeza kwenye Kilimo Tango. Tufanya mazao mbalimbali lakini mazao yanayouzwa vizuri
Ninatafuta partner kuwekeza kwenye Kilimo Tango. Tufanya mazao mbalimbali lakini mazao yanayouzwa vizuri
Ihayabuyaga JF-Expert Member Joined Aug 22, 2011 Posts 481 Reaction score 530 May 24, 2019 #2 sijui ni uelewa wangu mbovu ama nini...nadhani taarifa haijitoshelezi ama hujafanya utafiti wa hicho unachokitafuta1
sijui ni uelewa wangu mbovu ama nini...nadhani taarifa haijitoshelezi ama hujafanya utafiti wa hicho unachokitafuta1
Z zakarya Member Joined Nov 1, 2015 Posts 36 Reaction score 5 May 24, 2019 Thread starter #3 Ihayabuyaga said: sijui ni uelewa wangu mbovu ama nini...nadhani taarifa haijitoshelezi ama hujafanya utafiti wa hicho unachokitafuta1 Click to expand... Ninataka kusema kwamba inawezekana kulima mazao mengi, hamna zao moja tu kwenye kiwanja kimoja.
Ihayabuyaga said: sijui ni uelewa wangu mbovu ama nini...nadhani taarifa haijitoshelezi ama hujafanya utafiti wa hicho unachokitafuta1 Click to expand... Ninataka kusema kwamba inawezekana kulima mazao mengi, hamna zao moja tu kwenye kiwanja kimoja.
chilundu JF-Expert Member Joined Sep 28, 2013 Posts 347 Reaction score 226 May 24, 2019 #4 zakarya said: Ninataka kusema kwamba inawezekana kulima mazao mengi, hamna zao moja tu kwenye kiwanja kimoja. Click to expand... mkuu nipe mawasiliano yako
zakarya said: Ninataka kusema kwamba inawezekana kulima mazao mengi, hamna zao moja tu kwenye kiwanja kimoja. Click to expand... mkuu nipe mawasiliano yako
G8M8 JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 432 Reaction score 391 Jun 9, 2019 #5 Na mm nakomaa but alone ningeona uzi wako ningekutafuta