Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Kama mnavyojua nchi zetu masikini vitu vingi tunaagiza nje, ukiangalia pesa tunazowapa Dubai, China, Japan etc kwa ajili ya kununua bidhaa zao ni nyingi sana kuanzia magari, electronics na kadhalika.
Njia pekee ya kuwezesha shillingi yetu kuwa stable ni kuwekeza sana kwenye kilimo ili tuweze kuuza nje. Kamwe kwa viwanda vyetu vya juice, mandazi na ice cream hatuwezi kuuza nje ya Afrika.
Tunahitaji mapinduzi ya kilimo ili tuuze nje, kuna soko kubwa la bidhaa za kilimo sema sisi hatujui sababu ya kukosa elimu ya masoko na serikali kutotoa mchango mkubwa.
Shilling inaporomoka sana kwa sababu tunatumia pesa nyingi ya kigeni kuagiza lakin sisi hatuuzi.
Pia kutangaza sana utalii utasaidia wageni kuja ila cha kusikitisha ni kuwa kampuni nyingi za utalii zinamilikiwa na wageni pamoja na hivyo tukileta watalii wengi watakuja na pesa watabadilisha hivyo tutapata pesa za kigeni.
Mwisho mlioficha pesa huko Uswisi na sehemu nyingine mje basi mziweke kwenye bank za Tanzania itasaidia.
Ni hayo tu. (money stunna )
Njia pekee ya kuwezesha shillingi yetu kuwa stable ni kuwekeza sana kwenye kilimo ili tuweze kuuza nje. Kamwe kwa viwanda vyetu vya juice, mandazi na ice cream hatuwezi kuuza nje ya Afrika.
Tunahitaji mapinduzi ya kilimo ili tuuze nje, kuna soko kubwa la bidhaa za kilimo sema sisi hatujui sababu ya kukosa elimu ya masoko na serikali kutotoa mchango mkubwa.
Shilling inaporomoka sana kwa sababu tunatumia pesa nyingi ya kigeni kuagiza lakin sisi hatuuzi.
Pia kutangaza sana utalii utasaidia wageni kuja ila cha kusikitisha ni kuwa kampuni nyingi za utalii zinamilikiwa na wageni pamoja na hivyo tukileta watalii wengi watakuja na pesa watabadilisha hivyo tutapata pesa za kigeni.
Mwisho mlioficha pesa huko Uswisi na sehemu nyingine mje basi mziweke kwenye bank za Tanzania itasaidia.
Ni hayo tu. (money stunna )