Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kivuko sintofahamu!
Uwekezaji Mwenge!
Mtaa huo unavituko, hata kinara wa zamani kujenga naye kawekeza hapo Kebbys.
Lakini naota tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo fumbo wakilielwa wananzengo patachimbika!Mkuu Jidduzz, ufafanuzi please.
Kivuko na hilo jengo uhusiano gani?
Endelea kukuna kichwa.Tatizo hiyo video na kichwa cha uzi haviendani. Labda kama kuna mtu kaelewa atueleweshe zaidi.
Ha ha ha!Ras Mtimanyongo!
Harmonize akipita kwenye huu uzi tumekwishaUmeshasomeka mkuu, kwamba beki namba 5 na kiungo mkabaji namba 6 wote wamesimika nguzo pande hizo za mwenge...
Kuongiza sekta ya ujenzi chenji iko nyingi tu!Umeshasomeka mkuu, kwamba beki namba 5 na kiungo mkabaji namba 6 wote wamesimika nguzo pande hizo za mwenge...
No 4, Wapemba?Miradi ya Mwenge Kijijini
1. Uwanja wa KMC
2. Soko
3. Kituo cha daladala
4. Jengo la wafanyabiashara
Mbona unazunguka sana, we sema tu kuna uhusiano gani kati ya Magogoni MV, hilo jengo na mwenye nalo?No 4, Wapemba?
Tunaambiwa watu wanapenda kujikita kwenye ujenzi ili waache kitu cha kuonekana wakumbukwe, kumbe janja ya nyani tu ujenzi chenji yake inayobaki ni kubwa kuliko chenji inayobaki kwenye nyanya na vitunguu....Kuongiza sekta ya ujenzi chenji iko nyingi tu!
Si wanataka kuuvunja muungano hawa, au wataondoka na jengo lao....No 4, Wapemba?
Ndio hapo tunaunganisha na MV Magogoni.Tunaambiwa watu wanapenda kujikita kwenye ujenzi ili waache kitu cha kuonekana wakumbukwe, kumbe janja ya nyani tu ujenzi chenji yake inayobaki ni kubwa kuliko chenji inayobaki kwenye nyanya na vitunguu....