Nakumbuka huko nyuma viongozi wa haya mashirika walikuwa na pesa kama wafanyabiashara wakubwa kwasababu ya miradi ya deal.
Hebu Watanzania jiulizeni kitu kimoja
Bondi za serikali kwa miaka zaidi ya 20 sasa zinalipa 12%-16% kuna sababu gani sherika likachukuwa pesa na kwenda kuwekeza kwenye majengo au nyumba! kwasababu kwenye bond hawawezi kuiba.
Hivyo haya mashirika yangetakiwa pesa yote waweke kwenye bond na kuwa na management ndogo sana tu basi. Hivyo kila siku kulalamika tufanye nini ni ujinga pesa ziwekwe kwenye bond za serikali zote kwa 12%-16%.
Mtu mwenye Tsh 10M leo pesa wakiacha baada ya miaka 20 kwa 14% itakuwa Tsh 137,434,899. Hivyo tatizo sio mbinu za uwekezaji sababu kubwa ni wizi mtupu
Hebu Watanzania jiulizeni kitu kimoja
Bondi za serikali kwa miaka zaidi ya 20 sasa zinalipa 12%-16% kuna sababu gani sherika likachukuwa pesa na kwenda kuwekeza kwenye majengo au nyumba! kwasababu kwenye bond hawawezi kuiba.
Hivyo haya mashirika yangetakiwa pesa yote waweke kwenye bond na kuwa na management ndogo sana tu basi. Hivyo kila siku kulalamika tufanye nini ni ujinga pesa ziwekwe kwenye bond za serikali zote kwa 12%-16%.
Mtu mwenye Tsh 10M leo pesa wakiacha baada ya miaka 20 kwa 14% itakuwa Tsh 137,434,899. Hivyo tatizo sio mbinu za uwekezaji sababu kubwa ni wizi mtupu