Chini ya utawala wa Samia wawekezqji watazidi kumiminika tu maana demokrasia ipo kwa maana ya kwamba upinzani unafanya mikutano na kutoa maoni. Mfano uchaguzi wa juzi wa chadema umetoa somo kubwa ulimwenguni kuwa Tanzania is a safe country to invest in.
Hakuna uongozi wa kijeshi au one man show unao-attract mwekezaji maana anahisi siku asipomfurahisha tu mtawala anatimuliwa au kufilisiwa kama ilivyokuwa kipindi cha JPM ambapo kila mwekezaji alikuwa anatimua mbio.
Impact ya kutokuwa na uwekezaji ni disaster kubwa kwa wananchi maana uchumi unasinyaa ndo mana msemo uliibuka kipindi cha JPM kwamba vyuma vimekaza lakini chini ya Samia msemo huo umeshapotea kabisa
Hakuna uongozi wa kijeshi au one man show unao-attract mwekezaji maana anahisi siku asipomfurahisha tu mtawala anatimuliwa au kufilisiwa kama ilivyokuwa kipindi cha JPM ambapo kila mwekezaji alikuwa anatimua mbio.
Impact ya kutokuwa na uwekezaji ni disaster kubwa kwa wananchi maana uchumi unasinyaa ndo mana msemo uliibuka kipindi cha JPM kwamba vyuma vimekaza lakini chini ya Samia msemo huo umeshapotea kabisa