Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Habari wana JF,
Kuna hii idea ningependa kujua moja mbili tatu. Natumaini itasaidia wengi humu.
Kufanya uwekezaji katika kilimo cha mpunga kwa kununua ardhi, kuanza kulima, kufanya umwagiliaji, kuvuna, kuhifadhi, kuwauzia wateja wa jumla wataokuja shambani kwako na wewe mwenyewe kusambaza katika mikoa yenye uhitaji wa mchele.
Ningependa kujua faida, changamoto na vya kuzingatia katika aina hii ya uwekezaji.......
Kuna hii idea ningependa kujua moja mbili tatu. Natumaini itasaidia wengi humu.
Kufanya uwekezaji katika kilimo cha mpunga kwa kununua ardhi, kuanza kulima, kufanya umwagiliaji, kuvuna, kuhifadhi, kuwauzia wateja wa jumla wataokuja shambani kwako na wewe mwenyewe kusambaza katika mikoa yenye uhitaji wa mchele.
Ningependa kujua faida, changamoto na vya kuzingatia katika aina hii ya uwekezaji.......