Jr king
Member
- Nov 4, 2019
- 50
- 55
Heshima kwenu wakuu...
Moja kwa moja niingie kwenye mada husika. Kumekuwa na mkanganyiko kati ya uwekezaji uliofanywa na Mo pale Simba na udhamini uliofanywa na Azam kwa wanandinga wa Jangwani.
Sisi wa Buhigwe kitu kinachotuchanganya ni kuwa ina maana Mo ataimiliki simba maisha kwa hiyo 21B? Na yanga amejidhaminisha 41B kwa miaka 10 tu?
Sasa kama ni hivyo mbona kama Simba tumepigwa?
Tafadhali wajuzi wa Mambo tuelimisheni hicho kitu.
Moja kwa moja niingie kwenye mada husika. Kumekuwa na mkanganyiko kati ya uwekezaji uliofanywa na Mo pale Simba na udhamini uliofanywa na Azam kwa wanandinga wa Jangwani.
Sisi wa Buhigwe kitu kinachotuchanganya ni kuwa ina maana Mo ataimiliki simba maisha kwa hiyo 21B? Na yanga amejidhaminisha 41B kwa miaka 10 tu?
Sasa kama ni hivyo mbona kama Simba tumepigwa?
Tafadhali wajuzi wa Mambo tuelimisheni hicho kitu.