paroko tarantula
Senior Member
- Jun 15, 2021
- 107
- 93
Hivii kukaa na hela zetu mfukoni mwake wakati anajiita mwekezaji nayo inahitaji elimu?Humu kuna vilaza wengi sana wanachangia bila uelewa wa hali halisi, hapa ndio utajua elimu yetu ilivyo hohe hahe
Unafikiri hela inawekwa tu kama kusukuma kete ya draft, au unafikiri hao azam wamepigiana tu sim na Yanga na wakaingiza hiyo hela kwenye Acc, uwekezaji wa Simba mpaka sasa haujakamilika kwenye makaratasi, Mo ataweka hela pale kila kitu kitakapo kamilika. Ndio maana wabongo wengi tunapigwa hela kwenye mikataba hata rahisi tu.Hivii kukaa na hela zetu mfukoni mwake wakati anajiita mwekezaji nayo inahitaji elimu?
TANGA tena?Ina maana Azam wameachana na timu yao ya Azam na kuhamia Tanga?
Naamanisha Yanga mkuu.
Ina maana Azam wameachana na timu yao ya Azam na kuhamia Yanga?
Duh kwa hiyo wamepeleka pesa kwingineko hukoWanaona sio sahihi kutoa hela Mfuko wa Suruali kupeleka kwa mfuko wa Shati
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Heshima kwenu wakuu...
Moja kwa moja niingie kwenye mada husika. Kumekuwa na mkanganyiko kati ya uwekezaji uliofanywa na Mo pale Simba na udhamini uliofanywa na Azam kwa wanandinga wa Jangwani.
Sisi wa Buhigwe kitu kinachotuchanganya ni kuwa ina maana Mo ataimiliki simba maisha kwa hiyo 21B? Na yanga amejidhaminisha 41B kwa miaka 10 tu?
Sasa kama ni hivyo mbona kama Simba tumepigwa?
Tafadhali wajuzi wa Mambo tuelimisheni hicho kitu.
Iyo bill.12 unayosema anatoa kwa misingi ipi kwa kuwakopesha au anatoa tu kwa mapenzi yake? Maana kuna kamtego apo inasemekana bil.21 ametumia kwa miaka 4 na amewakopesha mnatakiwa muilipeTafuta maana ya uwekezaji na udhamini. Kwa mfano MO kwa miaka minne sasa anaipa support Simba ya karibia billion tatu kila mwaka. Maana yake mpaka sasa ameisha toa 12 B. Lkn ile 20 B iko pale pale.
Sahihi kabisa. Kama 49% ina value ya 20Bil means 100% ni around 41Bil hivi. Sasa Ina maana Azam wangetaka wangetoa hizo 41bil kwa Simba kuinunua moja kwa moja, wakati kwa Yanga wanamiliki matangazo tu.Heshima kwenu wakuu...
Moja kwa moja niingie kwenye mada husika. Kumekuwa na mkanganyiko kati ya uwekezaji uliofanywa na Mo pale Simba na udhamini uliofanywa na Azam kwa wanandinga wa Jangwani.
Sisi wa Buhigwe kitu kinachotuchanganya ni kuwa ina maana Mo ataimiliki simba maisha kwa hiyo 21B? Na yanga amejidhaminisha 41B kwa miaka 10 tu?
Sasa kama ni hivyo mbona kama Simba tumepigwa?
Tafadhali wajuzi wa Mambo tuelimisheni hicho kitu.
Si ile ya kwenye lile bango alilotuonyesha juzi, pale ndipo ilipo. Tukiihitaji ni kutafuta tu lile bango lilipo tunaitoa.Bilion 20 ipo pale pale wapi ambapo hapana jina?
3b anazopata yanga ni haki za matangazo ya tv tu bado 49% ya hisa zake zipo palepale....kingine yanga ktk hizo 49% wana kipengele cha wawekezaji wa tatu ili mmoja asi monopoly like Mo. Lkn Mo pamoja na 49% yy ndio mwenyekiti wa board ya wakurugenzi wkt sisi wa 51% ndio tutoe mtu wetu...kanjibai anatuzingua.Ukifanya breakdown ya udhamini wa Azam ni kwamba Yanga atakua anapata karibia billion tatu kwa mwaka, kitu ambacho MO ameanza kutoa miaka minne nyuma, utasemaje uwekezaji sio udhamini wa MO wa billion 20 kwa mkupuo ni ubabaishaji. Naona wewe ndio mbabaishaji.
Only Tv rights...anaochokifanya Senzo Yanga ndio angekifanya pale Simba lkn Mo hataki watu weledi anataka atukuzwe yeye tu.Ina maana Azam wameachana na timu yao ya Azam na kuhamia Yanga?
Kagame vipi hukoHii sio kitu ya kuuliza, Gabachori ameshawapiga kitambo sana.