Bw.Daffa
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 420
- 116
Assalam Aleykum Wana Jf.
Nategemea kama wajasiliamali mlifuatilia KONGAMANO kubwa la uwekezaji kanda ya kaskazini lilofanyika pale jijini Tanga
Nadhani itakua busara kama ntaibua fursa mbalimbali za Kiuchumi ktk moja ya Wilaya za Mkoa wa Tanga,Lushoto.
Labda nianze kwa kukupa taarifa fupi kuhusu wilaya hii ambayo kwa upeo wangu bado kuna fursa nyingi hazija tumiwa ipasavyo(under utilized).
Lushoto ipo upande kaskazi mwa wilaya ya korogwe,upande wa Kaskazini mashariki inapakana Kenya,na maghalibi kuna Kilimanjaro,Ipo barabara kuu ya Rami kutoka mombo hivyo kuunga kwenye Barabara ya Dar to Arusha Road. Hali ya hewa na ubaridi kwa Imezungukwa na milima ya Usambara.
Naam,nisiwachoshe sana ni mention fursa hizi zifuatazo:
*Hali ya hewa inaruhusu kilimo cha matunda na mbogamboga lakini bado wakulima wanalima kwa scale ndogo na bila kutumia mbinu za kisasa,Soko sio zuri kwani hakuna Wasambazaji wa kutosha,Hivyo kama hufkirii kulima unaeza kununua mazao kutoka kwa wakulima.
*Ardhi ya kutosha ipo kwan wakulima hulima vijishamba vidogodogo.Mbali na Matunda na mboga pia Mahindi,mpunga,maharagwe,viaz mviringo pia vinamea hasa Lushoto Magharibi km Mlalo,lukoz,mkuz,mtae n.k
*Lushoto mjini hakuna Maabara nzuri ya kisasa ya binafsi.
*Pamoja na uwepo wa Vyuo kama SEKOMU,Ija na shule kubwa kama St.Mary's Mazinde juu,Kifungilo na Shambalai High School bado hakuna Maktaba nzuri ya Binafsi wala Tuition Center ya Kudumu.Hii ni Fursa kwa walimu ambao kimsingi Mshahara hautoshi.
*Kwa wenye kutaka Ufugaji wa Kuku ama mifugo mingine,bas Mazingira ni Rafiki sana kwani ni Eneo ambalo kuna nyasi za kutosha na Ukame sio sifa ya Lushoto.
*Ni wilaya yenye kuvutia watalii hasa hali ya hewa ya ubaridi baridi na Milima ya Usambara,hivyo Hotel za Kitalii pamoja na Migahawa ya Kitalii ni Biashara yenye soko la uhakika
*Uwepo wa Vyuo umeichangamsha sana hii wilaya,Ila bado hakuna maduka makubwa ya kisasa(kuna Mini-Supermarket moja tu) taasisi za fedha kama Benki ni NMB NA CRDB...Niishie hapo naamini wapo wanoijua hii wilaya zaidi wataongezea:
KARIBUNI LUSHOTO
Nategemea kama wajasiliamali mlifuatilia KONGAMANO kubwa la uwekezaji kanda ya kaskazini lilofanyika pale jijini Tanga
Nadhani itakua busara kama ntaibua fursa mbalimbali za Kiuchumi ktk moja ya Wilaya za Mkoa wa Tanga,Lushoto.
Labda nianze kwa kukupa taarifa fupi kuhusu wilaya hii ambayo kwa upeo wangu bado kuna fursa nyingi hazija tumiwa ipasavyo(under utilized).
Lushoto ipo upande kaskazi mwa wilaya ya korogwe,upande wa Kaskazini mashariki inapakana Kenya,na maghalibi kuna Kilimanjaro,Ipo barabara kuu ya Rami kutoka mombo hivyo kuunga kwenye Barabara ya Dar to Arusha Road. Hali ya hewa na ubaridi kwa Imezungukwa na milima ya Usambara.
Naam,nisiwachoshe sana ni mention fursa hizi zifuatazo:
*Hali ya hewa inaruhusu kilimo cha matunda na mbogamboga lakini bado wakulima wanalima kwa scale ndogo na bila kutumia mbinu za kisasa,Soko sio zuri kwani hakuna Wasambazaji wa kutosha,Hivyo kama hufkirii kulima unaeza kununua mazao kutoka kwa wakulima.
*Ardhi ya kutosha ipo kwan wakulima hulima vijishamba vidogodogo.Mbali na Matunda na mboga pia Mahindi,mpunga,maharagwe,viaz mviringo pia vinamea hasa Lushoto Magharibi km Mlalo,lukoz,mkuz,mtae n.k
*Lushoto mjini hakuna Maabara nzuri ya kisasa ya binafsi.
*Pamoja na uwepo wa Vyuo kama SEKOMU,Ija na shule kubwa kama St.Mary's Mazinde juu,Kifungilo na Shambalai High School bado hakuna Maktaba nzuri ya Binafsi wala Tuition Center ya Kudumu.Hii ni Fursa kwa walimu ambao kimsingi Mshahara hautoshi.
*Kwa wenye kutaka Ufugaji wa Kuku ama mifugo mingine,bas Mazingira ni Rafiki sana kwani ni Eneo ambalo kuna nyasi za kutosha na Ukame sio sifa ya Lushoto.
*Ni wilaya yenye kuvutia watalii hasa hali ya hewa ya ubaridi baridi na Milima ya Usambara,hivyo Hotel za Kitalii pamoja na Migahawa ya Kitalii ni Biashara yenye soko la uhakika
*Uwepo wa Vyuo umeichangamsha sana hii wilaya,Ila bado hakuna maduka makubwa ya kisasa(kuna Mini-Supermarket moja tu) taasisi za fedha kama Benki ni NMB NA CRDB...Niishie hapo naamini wapo wanoijua hii wilaya zaidi wataongezea:
KARIBUNI LUSHOTO