Uwepo wa falsafa asilia za Afrika

Uwepo wa falsafa asilia za Afrika

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,113
Reaction score
65,124
Heshima kwenu wanajukwaa,
Katika kusoma kwangu tulipewa kazi ya kuongelea falsafa mbali mbali za duniani hapa hususani mtu alitakiwa aongelee any political and legal theory which is particular and universal to his country or continent and then how is it applied.

It was an easy job to the Americans wenyewe wakaongelea theory ya American Realism na mambo yakaenda.
Waingereza na nchi nyingi waliongelea Positivism, mjadala ulikuwa mkubwa sana kiasi ambacho Wanafunzi wamarekani walikatazwa wasizungumze tena kwa sababu walionekana kutetea baadhi ya mambo mabaya kama vita, adhabu ya kifo, torture na kadhalika.

Mimi nliitwa na Lecturer wangu mama moja ni Muingereza akaniambia wewe hutazungumzia theory yoyote ile ambayo wameitaja wenzako ila tunataka kusikia toka kwako Any Political or Legal theory which is particular to Africa and the way it is applied. Nilitaka kuzungumzia ujamaa Yeye akasema Ujamaa au Socialism is Alien to Africa. Kurahisisha kazi akasema nianzie pre-colonial Africa. Asee ilikuwa ni mwiba kwa sababu you can't find any of African legal theory in a book,....

Sasa wakati napresent hiyo paper darasa walikuwa very sceptic kwamba Africa had nothing that I can talk about.
Sasa mimi nlitaka kujua kama kuna any political and legal theory that is particular and universal to most of African states.

Nawasilisha
 
@MALCOM LUMUMBA, mada njema hii, nashangaa kwanini haijajadiliwa. Niliwahi kusoma maandiko ya Askofu John Mbiti kuhusu Falsafa za Kiafrika katika Dini.

Huwezi kuchambua falsafa za kiafrika kwa misingi ya mataifa, kwani mengi yaliundwa na Wakoloni na hakukuwa na uzingativu wa jamii katika kuyaunda mataifa yao, ndio maana hadi leo sisi tunalazimisha mavazi ya taifa, hata lugha imebidi mataifa mengi yaazime nje.

Tuuangalie Uafrika kama jamii moja kubwa, au kama jamii ndogo ndogo... Ila sio mkusanyiko wa nchi nyingi, kisha tunaweza kuitafuta falsafa yetu.
 
Falsafa ya Afrika ilikuwa ni UBUNTU..

Waafrika siyo kwambahatukuwa na uwezo wa kuzifanya nchi nyingine kuwa makoloni yetu ispokuwa kwa ajili ya kuthamini utu wa mwanadam ndio maana hatukuwa na hulka ya kutaabisha binadam wengine..

Walipokuja wakoloni, wazungu kwa maana hiyo, waafrika hawakuwauwa wala kuwafanyia mambo mabaya.. walichukuwa muda kidogo kujifunza na kutambua kuwa kumbe hao wageni nao ni watu ispokuwa ni albino.. na waliwaonea huruma kulingana na albino wanavyohangaishwa na jua la kwenye tropiki..

Wageni sasa hawakutambua falsafa ya wao kutodhuriwa na wenyeji na wakawaona wenyeji ni mbuzi...

Miji ya Athens na Rome ilijengwa pamoja na watu weusi wakati huo si kama watumwa bali kama wakaazi halali na wa asili wa ulaya.. kwa vile hawakuwa watu wa kutaka makuu, jamii za watu wengine wazungu walitumia mwanya huo kuwafuta katika ramani ya dunia..

Walipomaliza wakahamia Egypt, waafrika pamoja na roho nzuri, waliteketezwa, na historia zao.. leo hii watu wengi waafrika na wasio waafrika hawajui kama waarabu waliopo afrika kaskazini ni machotara baina ya wageni na wazawa wachache..

Falsafa ya ubuntu inaenda mbali sana.. Ulaya au Australia wazungu wako tayari kuona binadam wengine wakiangamia katika dhoruba la bahari kuu na wasifanye chochote... Kwa Waafrika ni kwa vile hatuna kitu, vinginevyo ubuntu ni falsafa ya kimungu...
 
Falsafa ya Afrika ilikuwa ni UBUNTU..

Ubuntu is one aspect of it,....
It is a legal and political theory found in South Africa,...
Inazungumzia sana haki za binadamu na jamii ya Afrika kwa Ujumla.
Inasema Mtu moja hawezi kuwa mtu bila mtu mwingine.
 
mada njema hii, nashangaa kwanini haijajadiliwa. Niliwahi kusoma maandiko ya Askofu John Mbiti kuhusu Falsafa za Kiafrika katika Dini.

Mkuu wangu hii mada nimeituma muda mrefu sana sasa ila sijawahi kuiona sijui moderators wana nini!!!!
Tuachane na hayo,......
According to Professor Idowu Africa does not have a philosophy of law but we only have a Philosophy of Life.
African philosophy doesn't have an author because it belongs to the public domain,....It is a result of cultural practices accumulated and passed from one generation to another.

 
What about ar1usha declaration
Au villagelization Za nyerere.

These were part of the African Socialist Philosophy,...
​Socialism is not native in Africa
 
Falsafa ya Afrika ilikuwa ni UBUNTU..

Ubuntu is one aspect of it,....
It is a legal and political theory found in South Africa,...
Inazungumzia sana haki za binadamu na jamii ya Afrika kwa Ujumla.
Inasema Mtu moja hawezi kuwa mtu bila mtu mwingine.
Nadhani falsafa hii ni ya Afrika nzima, wabantu wote isipokuwa Waafrika Kusini wamehodhi jina... Ingeweza kuitwa 'utu' na bado ikawa na maaa ile ile.

Sifa zinazoiunda falsafa hii zinapatikana karibu Afrika kote. Naungana na Capital kusema kuwa hii ni falsafa ya kiungu, makusudio ya Mungu mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:

Mkuu wangu hii mada nimeituma muda mrefu sana sasa ila sijawahi kuiona sijui moderators wana nini!!!!
Tuachane na hayo,......
According to Professor Idowu Africa does not have a philosophy of law but we only have a Philosophy of Life.
African philosophy doesn't have an author because it belongs to the public domain,....It is a result of cultural practices accumulated and passed from one generation to another.

NAdhani member ndio hawakuipenda, labda kwa kuwa ingewafanya wafikiri sana. Wataalamu waliochunguza falsafa za Afrika walijaribu kuweka sawa ukweli ambao umepotoshwa kwa makusudi kuwa Afrika ni gizani, hakukuwa na falsafa wala ustaarabu.

Na hiki ndicho kinachotakiwa kufundishwa kwa watoto wetu ili kuwainua!
 
Falsafa ya barter trade exchanging philosophical ambayo n tofaut na wenzetu hao wekundu ambao focus yao ilikuwa n kuibadilisha na ilifanikiwa lakin bado as african tunahihitaj na ndio njia ya kujikomboa kiuchumi ili kupunguza thamani za fedha na kuwa balanced economy
 
Back
Top Bottom