Uwepo wa maji katika Dunia

Habari zenu wadau, kama tunavyofahamu maji ni sehemu kubwa ya sayari ambayo tunayoishi. Je, naomba tufahamishane kama maji tunayotumia ni yale yale tokea Dunia inaumbwa, au kuna maji mengine yamekuja?

Maji na yale yale tu hayaongezeki, yanachofanya ni kuhama tu kutoka reservoir moja kwenda nyingine (water cycle) Baadhi ya reservoirs ni bahari, maziwa, mito, anga,mimea, underground, wanyama, na barafu hasa zilizoko Actic na Antarctic. Tuyatunze maji haya yaliyopo hayaongezeki.
 
Yamekuja kutoka wapi ?
 

Kwa maelezo yako ni kwamba pia hayapungui, ila huhama tu kutoka reservoir moja kwenda nyingine. Kwa nini tuhofie sasa kuhusu uhaba wa maji siku za mbeleni?
 
je? Yanapungua?
 
Habari zenu wadau,

Kama tunavyofahamu maji ni sehemu kubwa ya sayari ambayo tunayoishi. Je, naomba tufahamishane kama maji tunayotumia ni yale yale tokea Dunia inaumbwa, au kuna maji mengine yamekuja?
Bw.Mhe. Mayunga

Nikupe darsa kidogo kuhusu maji.... Fresh water tunayotumia hivi sasa ni 3% of total ya maji yote yaliyomo duniani... na tangu dunia ilipoumbwa hayaja pungua wala kuzidi!!

Katika kila glass tano za maji safi ya kunywa kuna glasi moja ambayo kuna kundi la watu hushindwa kuyapata kwa matumizi ya kunywa maji safi, kwa maana hawanywimaji stahili.
Katika kila muogo (bath) mmoja ukitumia dadika 10 bafuni unatpotza galloni 50 za maji!!
katika kila mvuto mmoja wa chooni (toillet flash water) unatumia galloni 4 kwa kila mara uvutavo !!

inasemekana kwa matumizi ya maji hivi sasa duniani inaweza sababisha upungufu baadae na kuleta majangaa hadi kufikia Vita vywa maji (vita kuu) kati ya nchi na nchi !!

Tafadhalini tutunze maji!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…