Tetesi: Uwepo wa nchi ya giningi

Tetesi: Uwepo wa nchi ya giningi

Kubbra Hooda

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
208
Reaction score
297
Habarini wakuu? Bila kupoteza muda ningependa tujuzane je kuna ukweli wowote juu ya uwepo wa nchi iitwayo giningi, Kwa wale waliobahatika kusoma kitabu kinachoitwa KIVULI KINAISHI cha mwandishi MoHAMED SAID ambacho kinaeleza juu ya uwepo wa nchi hiyo iliyogubikwa na mambo ya GIZA..(japo ameeleza kifashi zaidi) pia nilibahatika kutazama filamu ya kitanzania inayoitwa SIRI YA GININGI iliyochezwa na GABO ambayo imeonyesha uwepo wa eneo hilo lenye mauza uza.

Kuna tetesi eneo hilo linapatikana Zanzibar eneo ambalo kuna limegubikwa na mambo ya GIZA na yakutisha, Je kuna yeyote aliyewahi kufika eneo hilo?au habari hizi ni za kusadikika tu? na kama eneo hilo lipo je habari za kichawi zinazohusishwa na eneo hilo ni za kweli ? Na kama linapatikana Zanzibar ni ktk kisiwa gan je ni UNGUJA AU PEMBA?
Wakuu kuishi ni kujifunza kwa anaejua chochote anaweza kuchangia na kutujuza juu ya uwepo wa eneo hilo.
 
Habarini wakuu? Bila kupoteza muda ningependa tujuzane je kuna ukweli wowote juu ya uwepo wa nchi iitwayo giningi, Kwa wale waliobahatika kusoma kitabu kinachoitwa KIVULI KINAISHI cha mwandishi MoHAMED SAID ambacho kinaeleza juu ya uwepo wa nchi hiyo iliyogubikwa na mambo ya GIZA..(japo ameeleza kifashi zaidi) pia nilibahatika kutazama filamu ya kitanzania inayoitwa SIRI YA GININGI iliyochezwa na GABO ambayo imeonyesha uwepo wa eneo hilo lenye mauza uza.

Kuna tetesi eneo hilo linapatikana Zanzibar eneo ambalo kuna limegubikwa na mambo ya GIZA na yakutisha, Je kuna yeyote aliyewahi kufika eneo hilo?au habari hizi ni za kusadikika tu? na kama eneo hilo lipo je habari za kichawi zinazohusishwa na eneo hilo ni za kweli ? Na kama linapatikana Zanzibar ni ktk kisiwa gan je ni UNGUJA AU PEMBA?
Wakuu kuishi ni kujifunza kwa anaejua chochote anaweza kuchangia na kutujuza juu ya uwepo wa eneo hilo.
Ile ni Lugha ya picha. Unaweza ukasema Tanzania ndio Giningi. Hazungumzii uchawi hata kidogo, mwandishi anazungumzia brain washing!
 
Giningi ipo kweli, inapatikana kisiwani Pemba. Na mimi ni mwanachama, hata Mshana Jr pamoja na Mzizi mkavu wanajua hivyo. Baadhi ya siku huwa tunawaalika.
 
Tanzania ndio nchi pekee ya Africa ambayo huwa inafanya biashara na Korea ya Kim lkn USA Ana anaogopa kuiwekea vikwazo Tz sababu ya uwepo wa Giningi na Gamboshi
 
Ile ni Lugha ya picha. Unaweza ukasema Tanzania ndio Giningi. Hazungumzii uchawi hata kidogo, mwandishi anazungumzia brain washing!
Mkuu upo sawa katika kitabu imetumika lugha ya ki fasihi ila kwa story nilizozisikia kuna eneo hasa linaloitwa GININGI ambalo sifa zake zinashahabiana na GAMBOSHI
 
Giningi ipo kweli, inapatikana kisiwani Pemba. Na mimi ni mwanachama, hata Mshana Jr pamoja na Mzizi mkavu wanajua hivyo. Baadhi ya siku huwa tunawaalika.
Mkuu hebu tujuze kidogo
 
NI KIJIJI KIDOGO KIPO PEMBA kina sifa ya teknolojia ya kibantu sio kusingiziwa ni kweli fani hiyo ipo japo ilikuwa zamani
 
Back
Top Bottom