Hiyo kitu inawezekana kabisa ongea na utawala itakuwa pouwa, but kama uliomba kwa tcu una kazi kubwa na safari ndefu coz huwa wanasumbua sana kufanya transfer
Hiyo kitu inawezekana kabisa ongea na utawala itakuwa pouwa, but kama uliomba kwa tcu una kazi kubwa na safari ndefu coz huwa wanasumbua sana kufanya transfer
Nenda kwenye chuo unachotaka kuamia, ongea utawala kuhusu nafasi, ukipata rudi TCU uwaambie wakufanyie transfer ya jina. Utafanikiwa.. Usisahau kumuomba mungu