Uwezekano wa kupata namba form 4

Uwezekano wa kupata namba form 4

GISAMBO

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2014
Posts
1,195
Reaction score
1,933
Wana jukwaa naomba niwaulize mimi mdogo wangu alikua mgonjwa hivyo form iii akusoma vizuri alikua akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo hivyo basi amekosa namba shuleni kwao ya kufanyia mtahani mwaka huu, naombeni kama kuna uwezekano wowote wa yeye kufanya mthani mwaka huu MSAHADA ANAYE JUA PLEASE
 
mpe hi hapa 0712507817 itamsaidia si namba tu? Ila asiofu
 
mpe hi hapa 0712507817 itamsaidia si namba tu? Ila asiofu

we godmpare hili sio jukwaa la jokes bana.watu wanauliza vitu serious afu we unaleta masikhara... Mkuu mimi nikushauri bora afanye mtihan mwakan coz umesema form 3 hakusoma vizuri.Kuhusu uwezekano wa kufanya mtihan mwk u ni kaz sana,coz hata akitaka kufanya kam PC bado hana namba za kujisajiri.ASIFE MOYO CHA MSINGI KAISHA PONA AJIPANGE MWAKAN.
 
Wana jukwaa naomba niwaulize mimi mdogo wangu alikua mgonjwa hivyo form iii akusoma vizuri alikua akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo hivyo basi amekosa namba shuleni kwao ya kufanyia mtahani mwaka huu, naombeni kama kuna uwezekano wowote wa yeye kufanya mthani mwaka huu MSAHADA ANAYE JUA PLEASE


Yaani hapo usiwe na wasi wasi wowote ule !

Namba za Necta form four wanachukua uliyofanyia mtihani form two !

Cha msingi we nenda shuleni ukalipe ada ya Mtihani ! Hapo namba usiwe na shaka ! Kabisa kwani aliisha ipata akiwa form two !

Ahsante



afu godimpare acha kuwanga mchana mchana uchawi sio dili siku hizi !
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom