Habari za mida hii wanajamvi? Je kuna uwezekano wa kuajiriwa kokote kule either kwenye private sector au public sector ukiwa tu na matokeo ya miaka yako miwili uliosoma chuo.
Yaani kuna mwenzetu kapungukiwa ada ya kumalizia mwaka wa mwisho wa chuo anasomea bachelor ya accounting and finance na matokeo yake ya miaka yote miwil ni mazuri tu but hajasoma diploma katoka form six.
Je inawezekan akaajiriwa kokote kule na transcript yake ya 2 years??
karibuni wanajamvi mnipe mawazo yenu na njia atakazoweza kutumia kutimiza hili.