Tetesi: Uwezekano wa kuugawa Mji wa Jerusalem...

Tetesi: Uwezekano wa kuugawa Mji wa Jerusalem...

cacacuona

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2017
Posts
655
Reaction score
776
Kwa makala nyingi nilizozisoma sioni uwezekano wa kupata suluhu ya kumaliza mgogoro kati ya waparestina na waisrael(wayahudi) .hii inatokana na na asili ya mgogoro na references.zinazotumika kutatua mgogoro huu... Wapalestina wako sahihi kwa mujibu wa Sheria inayotumika leo katika mahakama za kimataifa ..na wanaitumia hii kuonyesha uhalali wa wao kuwepo Jerusalem.Lakini Wayahudi wao ushahid wao mkuu umejengwa katika kitabu kitakatifu ambacho wengi tunakijua kama biblia takatifu.wanaitumia kuonyesha kuwa wao ndio wakazi halisi ndio walioujenga huu Mji.
Kwa ukweli Mji huu ni Mji mtakatifu kwa dini tatu Uyahudj,uislam na ukristo.
Je kuna uwezekano wa umoja wa mataifa kuugawa huu Mji na kama upo uwezekano kwa kutumia Sheria ipi itakayokubaliwa na pande zote mbili?
 
hapo jua kwamba mbabe ataendelea kuutawala huo mji na mwisho wa siku wapalestina watasurrender tu
 
,uislamu mjini juu si WA Kwa uislamu nalo umefanya uvamizi tu. History inajieleza wazi ktk biblia hata kipofu anaweza kuwa shahidi. Tujue kuwa uislamu ulizaliwa miaka 570 Baada Ya ukristo kuanza. Pia ukristo uliikuta dini Ya kiyahudi ipo hivyo wayahudi Israel au yerusalemu ni yao mäana ni Nchi ya ahadi kwao.
 
Wenye Dunia Yao Wameshasema Hakuna Kugawana Mji Hapo Na Waarabu Wakichanganya Huwa Inapigwa Kolabo Na Hawa Washenzi Usa Italy France Israel Uk Germany Uholanzi Kuhakikisha Mwarabu Hafurukuti Mbele Ya Myahudi Na Wanazidi Kujitanua Wewe Hujiulizi Jordan Ambaye Alikuwa Anaimliki Jerusalem Yuko Kimya Alipigiwa Kolabo Mpaka West Bank Ikatekwa Kule Syria Golan Heights Ikatekwa Kule Misri Sinai Ikabebwa Mpaka Suez Canal
 
Back
Top Bottom