Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Duh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...
Kafa magufuli, Ngoyai anadunda, mkuu uliingilia mamlaka ya Mungu
 
mkuu ulibahatika kuwa hai?!
 
Maweee
Duh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...
 
Duh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...
Nikisoma hii comment yako kwa hakika naamini kutangulia sio kufika, yu wapi yule uliye amini hayupo ICU na yu wapi uliye amini yupo ICU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…