Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,063
Habari za jioni wana jamii forum,
nina mpenzi wangu ambaye tumekubaliana kutofanya mapenzi hadi tutakapofunga ndoa ,
kutokana na nature tumejikuta tunajiingiza majaribuni na kuishia kukis, romance ,
sasa kwa bahati mbaya last weekend tulikutana faragha tukaanza touching kwa bahati mbaya cku hiyo nami nililuse control nahc alipenyeze uume wake but nilikua na chupi,kilichonishangaza nikahisi jamaa anakuja na kumaliza nikaogopa kujichek nimelowa chupi na sehem za ukeni kidogo
naomba ushauri inawezekana mimba imeingia.
nina mpenzi wangu ambaye tumekubaliana kutofanya mapenzi hadi tutakapofunga ndoa ,
kutokana na nature tumejikuta tunajiingiza majaribuni na kuishia kukis, romance ,
sasa kwa bahati mbaya last weekend tulikutana faragha tukaanza touching kwa bahati mbaya cku hiyo nami nililuse control nahc alipenyeze uume wake but nilikua na chupi,kilichonishangaza nikahisi jamaa anakuja na kumaliza nikaogopa kujichek nimelowa chupi na sehem za ukeni kidogo
naomba ushauri inawezekana mimba imeingia.