Uwezesho wa bajaji

Uwezesho wa bajaji

Naomi john

New Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
1
Reaction score
3
Habari wadau nilikua nahitaji kumiliki bajaji nna miliin 2 naomba mkopo kwa makubaliano na riba tutakayoongea pia nna nyumba kama atataka iwe dhamana naomba kama kuna mtu binafi wa kunikopesha mkopo kiasi cha milion tano kisha atabaki na kadi ntamlipa ndani ya miezi 8 namba yangu ni 0673766821 Niko Dodoma mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukopeshana hela na wanawake ndio kitu nimeshashindwa. Mwisho wa siku najikuta nimemuoa bila kupenda maana lazima atashindwa tuu kurudisha pesa
 
Kukopeshana hela na wanawake ndio kitu nimeshashindwa. Mwisho wa siku najikuta nimemuoa bila kupenda maana lazima atashindwa tuu kurudisha pesa
Teh teh teh... Kwa biashara ya kukopesha KE utamiliki Kijiji Bila kupenda!
 
Habari wadau nilikua nahitaji kumiliki bajaji nna miliin 2 naomba mkopo kwa makubaliano na riba tutakayoongea pia nna nyumba kama atataka iwe dhamana naomba kama kuna mtu binafi wa kunikopesha mkopo kiasi cha milion tano kisha atabaki na kadi ntamlipa ndani ya miezi 8 namba yangu ni 0673766821 Niko Dodoma mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda CRDB unalipa 20% ya bei ya Bajaji then nyingine wanakuongezea wao na utakua unapeleka elfu 98 kwa wiki kwa bajaji Moja. All the best
 
Habari wadau nilikua nahitaji kumiliki bajaji nna miliin 2 naomba mkopo kwa makubaliano na riba tutakayoongea pia nna nyumba kama atataka iwe dhamana naomba kama kuna mtu binafi wa kunikopesha mkopo kiasi cha milion tano kisha atabaki na kadi ntamlipa ndani ya miezi 8 namba yangu ni 0673766821 Niko Dodoma mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni Dodoma fika Benki ya Akiba pale Independence au muone CityBoy hapo hapo Jirani kwani ndiye ajent wa hizo Bajaj, pia hapo jirani kuna gereji za Bajaj utapata zilizotumika hata kwa 4.5m
USHAURI
Biashara ya Bajaj kwa sasa si biashara tena na hasa kwa mtoto wa Kike.
Madereva wote wameshajipanga, hawatakuletea pesa uliyoipanga na km akifikia 15,000/ lazima siku za mapumziko atakuambia ni 2 (moja service pili mapumziko)
hakuna faida labda wewe uendeshe wewe mwenyewe mtoto wa Kike
 
Kama ni Dodoma fika Benki ya Akiba pale Independence au muone CityBoy hapo hapo Jirani kwani ndiye ajent wa hizo Bajaj, pia hapo jirani kuna gereji za Bajaj utapata zilizotumika hata kwa 4.5m
USHAURI
Biashara ya Bajaj kwa sasa si biashara tena na hasa kwa mtoto wa Kike.
Madereva wote wameshajipanga, hawatakuletea pesa uliyoipanga na km akifikia 15,000/ lazima siku za mapumziko atakuambia ni 2 (moja service pili mapumziko)
hakuna faida labda wewe uendeshe wewe mwenyewe mtoto wa Kike
Hapana sio kweli.....acha kumkatisha mwanadada watu tamaa.

Kila biashara ina changamoto zake, na hali ya kufa au kustawi kwa biashara yoyote ile, inategemeana na mfumo wa management wa mmiliki mwenyewe. I mean mfumo wake wa usimamizi, ndio utakao leta picha kamili ya mwenendo wa biashara yake.

Note:
Currently wapo wanaofanikiwa kwa biashara hiyo, ila pia wapo wanaofel kwa biashara hiyo hiyo. Ni issue ya mfumo tu....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau nilikua nahitaji kumiliki bajaji nna miliin 2 naomba mkopo kwa makubaliano na riba tutakayoongea pia nna nyumba kama atataka iwe dhamana naomba kama kuna mtu binafi wa kunikopesha mkopo kiasi cha milion tano kisha atabaki na kadi ntamlipa ndani ya miezi 8 namba yangu ni 0673766821 Niko Dodoma mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
All the best.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau nilikua nahitaji kumiliki bajaji nna miliin 2 naomba mkopo kwa makubaliano na riba tutakayoongea pia nna nyumba kama atataka iwe dhamana naomba kama kuna mtu binafi wa kunikopesha mkopo kiasi cha milion tano kisha atabaki na kadi ntamlipa ndani ya miezi 8 namba yangu ni 0673766821 Niko Dodoma mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia hiyo milioni kutafuta bodaboda ili izalishe bajaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom