Uwezo anaotajwa kuwa nao kocha Pochetino ni upi?

Uwezo anaotajwa kuwa nao kocha Pochetino ni upi?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huyu ni kocha wa soka aliyewahi kufundisha timu kadhaa ikiwemo Totenham Hotspurs, hivi sasa ni kocha wa PSG ya Ufaransa na sasa anapigiwa chapuo ya kufundisha Klabu ya Manchester United ya Uingereza.

Uzuri wa kocha huyu umepimwa kwa mafanikio yapi kutoka wapi?
 
Kazi aliyoifanya kwa Tottenham, inawapa watu imani anaweza kufanya vizuri zaidi kwingine.
 
Underrated coach hilo ndio lilikuwa chaguo la kwanza la Madrid kama mbadala wa zidane ila deni levi akamuongezea mkataba wa miaka mitano hapo real Madrid kafa 3 mtugi UEFA real Madrid ile ya kina bale na benzema pamoja na Ronaldo ikiwa on fire sio hii ya sasa hivi mbovu mbovu .
 
Back
Top Bottom