Jamani nahitaji kujua bei ya waterpump aina zote mbili ya mguu na ile ya mkono ni sh.ngapi? na uwezo wa kuvuta maji inaweza kuvuta toka umbali gani? na ikiwa nina kisima cha maji chenye urefu wa mita 30 inaweza kuvuta maji kutoa nje? Naomba majibu kwa anayejua.