CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Ki ukweli kama hujawahi muona huyu mtu akifanya mabalaaa basi siku 1 ukiona mabalaa ya huyu jamaa utajua naongelea nini,Zamani eti niliskiaga ukiwa komando unapewa kisu na njiti 1 tu ya kiberiti halafu unapelekwa porini ukae mwezi (utoto bwana) ila kwa utoto ule nimekuja kuona zile story kwa huyu jamaaa.
Huyu mtu muingize pori lenye shida unazozijua HE WILL SURVIVE atakula na atakunywa,Hafi njaaa huyu jamaaa ana idea za kuishi sjui nini kitamtoa duniani zaidi ya sir God tu akiamua.
Kuna siku 1 nilimuonea huruma baada ya kuuvagaa balaa la Nyuki,aliumwa na nyuki kiasi kwamba uso uliumuka kama puto Hadi nikaanza kuogopa maana hata kama ni kazi sio kwa maumivu yale.
Anaumia sana kwenye michezo yake,
Anakula vitu vya ajabu hadi mtu unaweza ukashangaa
Nilichoka sana siku moja nilipomuona akiunywa mkojo wake mwenyewe kama maji yakunywa..
Hivi nikija kua mkubwa nikitaka kuwa kama huyu jamaa kuna chuo gani kinafundisha ujasiri wa namna hiiii eti bandugu
Nimeona mahali huyu jamaa alikua mjeshi ki maukweliiiiiiii sasa sijui kilimsibu nini hadi kuingia kwenye mahatari haya,hata kama ndio passion aseee hii sasa ni kiboko
Huyu mtu muingize pori lenye shida unazozijua HE WILL SURVIVE atakula na atakunywa,Hafi njaaa huyu jamaaa ana idea za kuishi sjui nini kitamtoa duniani zaidi ya sir God tu akiamua.
Kuna siku 1 nilimuonea huruma baada ya kuuvagaa balaa la Nyuki,aliumwa na nyuki kiasi kwamba uso uliumuka kama puto Hadi nikaanza kuogopa maana hata kama ni kazi sio kwa maumivu yale.
Anaumia sana kwenye michezo yake,
Anakula vitu vya ajabu hadi mtu unaweza ukashangaa
Nilichoka sana siku moja nilipomuona akiunywa mkojo wake mwenyewe kama maji yakunywa..
Hivi nikija kua mkubwa nikitaka kuwa kama huyu jamaa kuna chuo gani kinafundisha ujasiri wa namna hiiii eti bandugu
Nimeona mahali huyu jamaa alikua mjeshi ki maukweliiiiiiii sasa sijui kilimsibu nini hadi kuingia kwenye mahatari haya,hata kama ndio passion aseee hii sasa ni kiboko