rajabkisauti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 566
- 316
Mungu anahusikaje hapo[emoji15] [emoji15]Eelewa tu haina mfano wake. Mungu ndo anayejua kila kitu. Halafu wakati mwingine acha kufikiria mawazo kama hayo, mambo mengine yaache kama yalivyo.
Jimena said:Mungu anahusikaje hapo
Sio wote waliumbwa my dear wengine tulizaliwaJamani Mamy,Mungu si ndo muumbaji ya vitu vyote hivyo?
Jimena said:Sio wote waliubwa my dear wengine tulizaliwa
Megapixels hazikusaidii ku zoom. Hiyo ni kazi ya lensLingekuwa na megapixel ungeweza hata kuzoom vitu vya mbali.
We lenzi hauna? Mbona hauzoom!Megapixels hazikusaidii ku zoom. Hiyo ni kazi ya lens
Reference please.....[emoji101]576 megapixel... hakuna kama jicho la binadamu...
100 Terabytes of RAM...
2500 Terabytes Of HDD...
500 Petabytes of CPU...
BING??Lakini mkuu katika ulimwengu huu wa utandawazi......mbona kuna vyanzo vingi vya taarifa.....naamini ungeingia google ungekata kiu yako....
Mkuu kitambo sijakuona,ulikuwa wapi?BING??
Hahaha nipo mkuuMkuu kitambo sijakuona,ulikuwa wapi?