Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Hii timu ipo vizuri sana kwa ligi ya NBC, wana makelele na tambo nyingi sana kitaifa, ila wakiingia kimataifa wanakuwa mdebwedo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kimataifa, na ndipo Yanga yetu inashikilia mkia kwa kundi D.Kwani CAFCC sio kimataifa?
WACHAMBUZI MAANDAZIHii timu ipo vizuri sana kwa ligi ya NBC, wana makelele na tambo nyingi sana kitaifa, ila wakiingia kimataifa wanakuwa mdebwedo.
Tuwaheshimu wachambuzi mkuu.WACHAMBUZI MAANDAZI
Sasa kama unajua kuwa CAFCC ni kimataifa kwanini umesema Yanga haikuwahi kushinda kimataifa wakati kwenye CAFCC Yanga walikuwa mshindi wa pili?Ni kimataifa, na ndipo Yanga yetu inashikilia mkia kwa kundi D.
Ukija kitaifa (NBC league) Yanga wanaongoza huku 😂
Mkuu utamaliza energy yako bure kushindana na mbumbumbuSasa kama unajua kuwa CAFCC ni kimataifa kwanini umesema Yanga haikuwahi kushinda kimataifa wakati kwenye CAFCC Yanga walikuwa mshindi wa pili?
Lile kombe la looser lilienda kwa wengine babu.Sasa kama unajua kuwa CAFCC ni kimataifa kwanini umesema Yanga haikuwahi kushinda kimataifa wakati kwenye CAFCC Yanga walikuwa mshindi wa pili?
Kocha wa hilo kombe la looser mkamwona anawafaa huko msimbazi....ndondocha fc mna ghubu sana.Lile kombe la looser lilienda kwa wengine babu.
Na katika hili, wanastahili pongezi. Maana Yanga amecheza mechi 2, ana pointi 1 na wadogo zake simba wamecheza mechi 2, wana pointi 2!Yanga ndio timu pekee ambayo ina kazi ya kufurahisha mashabiki wake na mashabiki wa 5imba
Tupo mkiani ila tutawapiga Madeama na kuhama mkiani.wanaiona Yanga kama vibonde wa kundi!
Huyo kocha yupo vizuri sanaKocha wa hilo kombe la looser mkamwona anawafaa huko msimbazi....ndondocha fc mna ghubu sana.
Basi amini hata yanga iko vizuri zaidi maana tulicheza nae fainaliHuyo kocha yupo vizuri sana
Swali zuri?Sasa kama unajua kuwa CAFCC ni kimataifa kwanini umesema Yanga haikuwahi kushinda kimataifa wakati kwenye CAFCC Yanga walikuwa mshindi wa pili?
AaahaaahKocha wa hilo kombe la looser mkamwona anawafaa huko msimbazi....ndondocha fc mna ghubu sana.
Na wanaimba midomoni mwao kuwa ni kocha mwenye profile kubwa, profile yenyewe ni ipi ni kuchukua kombe hilo hilo wanaolibeza. Ukisikia usemi wa sizitaki mbichi hizi ndio hawa makolofive vijana wa Rage.Kocha wa hilo kombe la looser mkamwona anawafaa huko msimbazi....ndondocha fc mna ghubu sana.