Du!!!!!!!, unahtaji kuomba saana kuhusu hlo
Nina umri wa 29, sijaoa bado. Wadau,naona kila kukicha nashindwa kufikiri,pia uwezo wangu wa kaz unapungua. Hata kuongea naona kaz kwel! Nashndwa hata kuweka nyumba yangu safi kama kjana.. Nashangaa naongea hata bila mtiririko maalum. Je,nitumie dawa gan?
Hapo ndio tunapokosea, baada ya kumpa ushauri akakutane na madaktari, unasema anahitaji maombi!