mkuu hata mimi hapo kabla choice yangu ya 5 pekee ilikua not eligible lakini leo asubuhi choice ya 1 imegeuka kua not eligible alaf zingine zote zmebaki eligible..mkuu ninaona hiyo iliyonot eligible ndio 2liposelectiwa sabab nimecheki washkaj zangu wa tatu nao yakwanza pekee ndio not eligible kwaanzia asubuhi hii..!
halafu huyo eti anategemea kwenda kuanza university education!!!!
sasa man mbona simple instructions kabisa kwa mtu ambaye anajitayarisha na chuo sidhani kama itakuwa ngumu kuelewa ushasema umeandikiwa not eligible alafu unasema ndipo ulipo kuwa selected ... ??
sasa man mbona simple instructions kabisa kwa mtu ambaye anajitayarisha na chuo sidhani kama itakuwa ngumu kuelewa ushasema umeandikiwa not eligible alafu unasema ndipo ulipo kuwa selected ... ??
mkuu kinachonipa wasiwasi nikwamba kwanini kila mtu ile 1st option pekee ndio iwe not eligible..?
Technical Problem with IT technicians! garbage in garbage out!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ni kweli mkuu lazima kuna technical problem sababu ukichek for eligibility inarudi kuwa eligible..hebu jaribu uone
huu mfumo mpya umekuwa kero kubwa kwa vijana na umekaa kisiasa sana, nashauri warudishe mfumo wa zamani ambapo mtu anaapply chuo anachokitaka & once amesubmit form kinachobaki ni kusubiri selection
aise mazee naona hilo jambo ni kwa kila mtu mazeeeeee maana hata mimi all are eligible except my first option ndio ime kuwa not eligible. But i think siyo gurantiee that utakuwa umechaguliwa huko may nitatizo la kiufundi au site iko down for maintanance au ndio wa upload selection! lets wait
sasa man mbona simple instructions kabisa kwa mtu ambaye anajitayarisha na chuo sidhani kama itakuwa ngumu kuelewa ushasema umeandikiwa not eligible alafu unasema ndipo ulipo kuwa selected ... ??
unapompatia mtoto wa miezi sita wembe akunyoe ndevu unategemea nini?