Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
kilaza wetu maarufu baada ya kutua igunga amedanganya wananchi wa igunga eti macho ya dunia yako igunga
macho ya dunia ipi kama uchaguzi mkuu wa rais dunia haina habari
kilaza wetu maarufu baada ya kutua igunga amedanganya wananchi wa igunga eti macho ya dunia yako igunga
macho ya dunia ipi kama uchaguzi mkuu wa rais dunia haina habari
Kuna ka-trend huyu mwanasiasa anaanza kukatengeneza, kwanza baada ya kushinda au sijui kupewa jimbo la 'Bumbuli' akaja na ka website kake na ahadi luluki kwa wanabumbuli. Moja wapo ikiwa alidai atakopa sijui wapi huko anakokujua hili awekeze kwenye miradi ya bumbuli lakini chali. kuna suala la umeme alisema hatasimama kidedea na wizara yale yale chali. Inaonekana ni mtu wa kuropoka-ropoka si ajabu leo tena anakuja na uongo mwingine may be just be January Makamba is a 'Pathological liar'.
***** umesahau ni makamba aliyeanzisha bajeti ya wizara ya madini na nishati ikaahirishwa? Kamanda Mbowe akamsifia na kusema DOGO HUKUSTAHILI KUWA CCM, SAIZI YAKO NI CHADEMA. NJOO CHADEMA TUWACHACHAFYE CCM? KASOME HANSARD.Huyu jamaa ni bogas kabisa
yaani ukitizama makampuni makubwa kama bbc,cnn,aljazeera hawatangazi kabisa mambo ya tanzania wakati wa uchaguzi kama wanavyotangaza zambia na kenya,jamaa ni kilaza kinoma
January yuko sawa wewe ndio kilaza tena mshamba! Kila siku VOA,BBC,D-welle wanatangaza kuhusu siasa za Uchaguzi mdogo Igunga!
kilaza wetu maarufu baada ya kutua igunga amedanganya wananchi wa igunga eti macho ya dunia yako igunga
macho ya dunia ipi kama uchaguzi mkuu wa rais dunia haina habari
kilaza wetu maarufu baada ya kutua igunga amedanganya wananchi wa igunga eti macho ya dunia yako igunga
macho ya dunia ipi kama uchaguzi mkuu wa rais dunia haina habari