hee sikujua kama hili nijukwaa la utani niljua tupo siasani.samahaniPunguza jazba kaka mkubwa tupo kwenye jukwaa la 'jokes/utani' so calm down....
Lol.
Hahahaha usijal bro....hee sikujua kama hili nijukwaa la utani niljua tupo siasani.samahani
[emoji170][emoji170]Hahahaha usijal bro....
peace and love.
na hapo hapo.kupitia mpunga huo kila mwananchi atapewa noahSerikali itapewa bilioni 192 USD kitokana na acacia kukwepa kodi mpaka leo tunafunga mwaka hata mia haijalipwa
Demu wangu alinuambia kua kuna rafiki yake ametoka safari kafikia guest kwa hiyo amemuomba akamsuke nywele za sikukuu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Wadau, embu tuseme uwongo uliovunja rekodi mwaka huu 2017.. Mimi naanza na hizi
1. Tanzania imeagiza kifaa ambacho kikipita karibu na nyumba yenye dawa za kulevya inapiga kelele
2. Tumeokota vichwa vya Treni bandarini
Tutiririke
Msema Ukweli ndiye mchochezi kwa siku hizi!!!Wadau, embu tuseme uwongo uliovunja rekodi mwaka huu 2017.. Mimi naanza na hizi
1. Tanzania imeagiza kifaa ambacho kikipita karibu na nyumba yenye dawa za kulevya inapiga kelele
2. Tumeokota vichwa vya Treni bandarini
Tutiririke