Nimeomba mwenye kujua atujuze. Wewe hujui,kaa kimya. Ndo maana mnafeli mitihani kwa kutokusoma instructions. Narudia tena mwenye kujua atujuze.kama hujui piga kimya nigga
Sawa mkuu siku ingine ntakuwa nasoma maelekezo kama huyu jamaa ila narudia tena 'mind your own business'
Bosi Inaonekana wewe mwenyewe huitendei haki hiyo 'mind your own business' sababu kama ungemind your business, usingekuja hapa kusoma topic za watu.Sawa mkuu siku ingine ntakuwa nasoma maelekezo kama huyu jamaa ila narudia tena 'mind your own business'
Sawa mkuu siku ingine ntakuwa nasoma maelekezo kama huyu jamaa ila narudia tena 'mind your own business'
Tokea umejua kuattach picha jf hatupumui
Mind your own business na uko una comment post za wenzako, ungemund ur own business kwanza kwa kutoingia hata Jf; u are officially fu..ed
Waliwekwa kwa ajili ya kumfanyia kampeni magufuli.. uchaguzi umeisha wametupwa kwenye dust bin
Sasa unachouliza unataka ukifanyie nini? Utaenda kuweka pingamizi au!?
Mind your own business dwag!