Pre GE2025 UWT Masasi waahidi ushindi kwa kishindo kwa rais Samia 2025

Pre GE2025 UWT Masasi waahidi ushindi kwa kishindo kwa rais Samia 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Umoja wa Wanawake UWT Wilayani Masasi Mkoani Mtwara wamefanya kongamano la kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh Dr. Samia Suluhu Hassani kwa kuteuliwa na mkutano mkuu maalumu uliofanyika jijini Dodoma kuwa mgombea wa urais mwaka 2025 ambapo wameahidi kumchagua ili ishinde kwa kishindo.

 
Mishangazi Ya Kindengereko Mitamuu Hiyoo..!!,Yanezeekaga Na Ubora Wao
 
Back
Top Bottom