Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu
Jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania (UWT) wilayani Rufiji Pwani imewaonya wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM walioanza kutangaza nia na kufanya kampeni za chini kwa chini kama ishara kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu
Akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari uliowakutanisha wajumbe wa jumuiya hiyo Katibu wa UWT wilaya ya Rufiji Mariam Mugasha amesema tabia ya baadhi ya wanachama wasio na nia njema kuanza kufanya kampeni kabla ya muda haikubaliki kwani ni ukiukwaji mkubwa wa taratibu zilziowekwa na chama.
Jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania (UWT) wilayani Rufiji Pwani imewaonya wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM walioanza kutangaza nia na kufanya kampeni za chini kwa chini kama ishara kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu
Akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari uliowakutanisha wajumbe wa jumuiya hiyo Katibu wa UWT wilaya ya Rufiji Mariam Mugasha amesema tabia ya baadhi ya wanachama wasio na nia njema kuanza kufanya kampeni kabla ya muda haikubaliki kwani ni ukiukwaji mkubwa wa taratibu zilziowekwa na chama.
