Hana ubavu wa kuzuia. CCM kuna miamba imekaa kimya na haijulikani lakini siku ikifika watatangaza nia ya urais na huenda kuwa na raisi mwenye sura mpya kabisa mwenye umri usiozidi miaka kati ya 47-55Wakuu
Jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania (UWT) wilayani Rufiji Pwani imewaonya wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM walioanza kutangaza nia na kufanya kampeni za chini kwa chini kama ishara kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu
Akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari uliowakutanisha wajumbe wa jumuiya hiyo Katibu wa UWT wilaya ya Rufiji Mariam Mugasha amesema tabia ya baadhi ya wanachama wasio na nia njema kuanza kufanya kampeni kabla ya muda haikubaliki kwani ni ukiukwaji mkubwa wa taratibu zilziowekwa na chama.
View attachment 3190434
Mkaza mwana WA mama,mnamsifia!Wakuu
Jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania (UWT) wilayani Rufiji Pwani imewaonya wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM walioanza kutangaza nia na kufanya kampeni za chini kwa chini kama ishara kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu
Akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari uliowakutanisha wajumbe wa jumuiya hiyo Katibu wa UWT wilaya ya Rufiji Mariam Mugasha amesema tabia ya baadhi ya wanachama wasio na nia njema kuanza kufanya kampeni kabla ya muda haikubaliki kwani ni ukiukwaji mkubwa wa taratibu zilziowekwa na chama.
View attachment 3190434
ni muhimu sana wale wabunge wanaitwa covi19 ambao wana nia ya kujiunga na CCM kwa wakati muafaka, waache kujipenyeza kwa siri majimboni na kurubuniwa na wajanja ati wanafaa kuanza kampeni za mapema kwa kujitambulisha kwa wananchi,Wakuu
Jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania (UWT) wilayani Rufiji Pwani imewaonya wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM walioanza kutangaza nia na kufanya kampeni za chini kwa chini kama ishara kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu
Akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari uliowakutanisha wajumbe wa jumuiya hiyo Katibu wa UWT wilaya ya Rufiji Mariam Mugasha amesema tabia ya baadhi ya wanachama wasio na nia njema kuanza kufanya kampeni kabla ya muda haikubaliki kwani ni ukiukwaji mkubwa wa taratibu zilziowekwa na chama.
View attachment 3190434
Asilimia 70% ya wabunge hatarudi bungeni hata kama wakiwatoa kafara ya kuua ndugu, rafiki, wenye nyota njema nkni muhimu sana wale wabunge wanaitwa covi19 ambao wana nia ya kujiunga na CCM kwa wakati muafaka, waache kujipenyeza kwa siri majimboni na kurubuniwa na wajanja ati wanafaa kuanza kampeni za mapema kwa kujitambulisha kwa wananchi,
tafadhali waache vimbelembele, wafuate utaratibu, vinginevyo hawatapokelewa
inaweza kua kweli gentleman,Asilimia 70% ya wabunge hatarudi bungeni hata kama wakiwatoa kafara ya kuua ndugu, rafiki, wenye nyota njema nk