joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
MY TAKE: Wakati majirani wakipigana vikumbo kuiba pesa ya Corona ya mkopo toka kwa mabeberu, watanzania wanajitolea kulitangaza Taifa lao bure. Tofauti kati ya ubepari na ujamaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa mzungu anaeleza jinsi Nyerere alivyofanikiwa kuweka nchi yetu kwa umoja na amaniMungu umlaze pema peponi nyerere huko alipo. hakika huyu alikuwa nabii.
leo hii watz tunaelewana kila jambo. ndio sababu haiwezekani kutugawanya kirahisi.
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
Basi ni nani huyo kw sasa aje ajichanganye awekeze tanzania kw moyo wake wote
MY TAKE: Wakati majirani wakipigana vikumbo kuiba pesa ya Corona ya mkopo toka kwa mabeberu, watanzania wanajitolea kulitangaza Taifa lao bure. Tofauti kati ya ubepari na ujamaa.
Rutto afurahia kuibiwa kwa pesa za CoronaBasi ni nani huyo kw sasa aje ajichanganye awekeze tanzania kw moyo wake wote
[emoji38] [emoji38] nchi yenye millionaires wengi na only single $blnaire.Basi ni nani huyo kw sasa aje ajichanganye awekeze tanzania kw moyo wake wote
Niletee link ya 2015 mpka sai tuone hao millionaires[emoji23][emoji23][emoji38] [emoji38] nchi yenye millionaires wengi na only single $blnaire.
endelea kukula shida hapo kibela.
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
Hawataifishi mali za wawekezaji lkn[emoji23][emoji23]Rutto afurahia kuibiwa kwa pesa za Corona
'Wacha niendelee kama spectator,' Ruto asema coronavirus imegeuzwa sakata ya mabilioni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unataka link ya millionanaires au ya mwaka 2015??Niletee link ya 2015 mpka sai tuone hao millionaires[emoji23][emoji23]
Hahahaha, CCM inataifisha mali za wazungu na kununua meli na kujenga barabara na bwawa la Umeme, Jubilee inaiba pesa za Corona na kuwaacha raia wake wanakufa ovyo kwa Corona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawataifishi mali za wawekezaji lkn[emoji23][emoji23]
Ccm wezi na waporoji ndio manake wawekezaji wanaogopa
Saaafi, nimeipenda na kijana will be rewarded accordingly. Watanzania ukarimu umelala
MY TAKE: Wakati majirani wakipigana vikumbo kuiba pesa ya Corona ya mkopo toka kwa mabeberu, watanzania wanajitolea kulitangaza Taifa lao bure. Tofauti kati ya ubepari na ujamaa.
Mlipima lini maiti[emoji23][emoji23]Hahahaha, CCM inataifisha mali za wazungu na kununua meli na kujenga barabara na bwawa la Umeme, Jubilee inaiba pesa za Corona na kuwaacha raia wake wanakufa ovyo kwa Corona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mlipima lini maiti[emoji23][emoji23]
R.I.P Baba wa taifa. MUNGU Alimleta Tanzania kwa makusudi maalum.Mungu umlaze pema peponi nyerere huko alipo. hakika huyu alikuwa nabii.
leo hii watz tunaelewana kila jambo. ndio sababu haiwezekani kutugawanya kirahisi.
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app