Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Imefika wakati sasa, somo la uzalendo lifundishwe kwa undani zaidi ili kuweza kukomboa fikra za vijana. Vijana wengi leo hii wanadhani uzalendo ni kumtetea kiongozi wa nchi na ndio maana wanaanzisha hadi vyama vya kusifia.
Tupate fursa ya kufahamu kuhusu uzalendo.
Tupate fursa ya kufahamu kuhusu uzalendo.