Lanlady JF-Expert Member Joined Feb 27, 2019 Posts 1,836 Reaction score 6,303 Apr 10, 2023 #1 Imefika wakati sasa, somo la uzalendo lifundishwe kwa undani zaidi ili kuweza kukomboa fikra za vijana. Vijana wengi leo hii wanadhani uzalendo ni kumtetea kiongozi wa nchi na ndio maana wanaanzisha hadi vyama vya kusifia. Tupate fursa ya kufahamu kuhusu uzalendo.
Imefika wakati sasa, somo la uzalendo lifundishwe kwa undani zaidi ili kuweza kukomboa fikra za vijana. Vijana wengi leo hii wanadhani uzalendo ni kumtetea kiongozi wa nchi na ndio maana wanaanzisha hadi vyama vya kusifia. Tupate fursa ya kufahamu kuhusu uzalendo.
Kinkunti El Perdedo JF-Expert Member Joined Nov 28, 2020 Posts 5,200 Reaction score 12,762 Apr 10, 2023 #2 Kwa tafsiti isiyo rasmi toka nchi ya Tangakiza na Zenjibia Uzalendo ni kuwa chawa wa kiongozi na kada wa chama Cha mboga mboga "Wevi wanalindwa na mifumo"
Kwa tafsiti isiyo rasmi toka nchi ya Tangakiza na Zenjibia Uzalendo ni kuwa chawa wa kiongozi na kada wa chama Cha mboga mboga "Wevi wanalindwa na mifumo"