Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huu ndio ushahidi wenyewe, Joseph Mbilinyi ambaye pia anajulikana kama Rais wa Mbeya, ameamua kukataa kuburuzwa na kuamua kumuenzi Nelson Mandela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mpesya yupo kweli?Watu wa Mbeya wana viburi sana. Eti bora tumchague mkinga Sugu kuliko Mpesya.
Vijana wa dotcom mnamfahamu Mpesya?
Na aliyekufa ni nani?Hivi mpesya yupo kweli ?
Yule mzee sina uhakika. Ni muda sana alipotea kwenye tasnia ya siasa.Hivi mpesya yupo kweli ?
Upi huo? Tujuze.Tatizo kubwa la Sugu ni usela mavi na ameamua kuzeeka nao.
Kitendo cha watu wa Mbeya kushikiwa akili na Sugu..inaonesha ni jinsi gani watazidi kuchelewa kuwa wajanjaWatu wa Mbeya wana viburi sana. Eti bora tumchague mkinga Sugu kuliko Mpesya.
Vijana wa dotcom mnamfahamu Mpesya?
Duh, alifariki?Na aliyekufa ni nani?
Mbeya kuna kituo cha basi kinaitwa kwa Mbilinyi, huyo Mbilinyi ndio baba yake Sugu. Walishajenga jina muda mrefu yeye na baba yake.Kitendo cha watu wa Mbeya kushikiwa akili na Sugu..inaonesha ni jinsi gani watazidi kuchelewa kuwa wajanja
Pia mh.Tulia Ackson aziangalie barabara za Mbeya-Tunduma na Igawa-Uyole ni mbaya mno.Tatizo kubwa la Sugu ni usela mavi na ameamua kuzeeka nao.
Mbunge ajengi barabara Sugu alikuwa anawaokota makolo wa Mbeya.Pia mh.Tulia Ackson aziangalie barabara za Mbeya-Tunduma na Igawa-Uyole ni mbaya mno.
Lakini enzi wapinzani wamejaa bungeni ccm iliwahadaa wananchi kwamba mbunge gani huyu ambaye hata barabara zinamshinda kujenga.Mbunge ajengi barabara Sugu alikuwa anawaokota makolo wa Mbeya.
Huyo tulia hakuna chenyewe anafanya zaidi ya kuanzisha matamasha ya ngoma za asiliPia mh.Tulia Ackson aziangalie barabara za Mbeya-Tunduma na Igawa-Uyole ni mbaya mno.
Ni uamuzi wa mtu binafsi kama baniani na picha za hare rama hare krishna za miguu sita!Huu ndio ushahidi wenyewe , Joseph Mbilinyi ambaye pia anajulikana kama Rais wa Mbeya , ameamua kukataa kuburuzwa na kuamua kumuenzi Nelson Mandela .
View attachment 1988997