MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Kama mliangalia kwa umakini Azam TV walijiepusha sana na picha ambazo zingeweza kutumika kama ushahidi wa matukio muhimu ikiwemo yule mganga feki na paka!
Huu ndio uzalendo sasa! Mambo ya nchi hayana fair play ni nchi kwanza!
HONGERA SANA AZAM TV!
Kama mliangalia kwa umakini Azam TV walijiepusha sana na picha ambazo zingeweza kutumika kama ushahidi wa matukio muhimu ikiwemo yule mganga feki na paka!
Huu ndio uzalendo sasa! Mambo ya nchi hayana fair play ni nchi kwanza!
HONGERA SANA AZAM TV!