Sehemu nilipokuwa ilizuka shangwe si ya kawaida! Azam wamefanya mapinduzi makubwa sana! Wanastahili pongezi rasmi [emoji119]Walichonifurahisha ni kuwa tulipofunga goli la nne, wakaweka ile picha ya WAR IN DAR! Aisee,the feeling I had ni kama nimepitishwa kwenye geti la kuingia Mbinguni.
Hii ni kila mahali nadhani kitu kilitokea. Watu walilipuka kwa shangwe la ajabu.Sehemu nilipokuwa ilizuka shangwe si ya kawaida! Azam wamefanya mapinduzi makubwa sana! Wanastahili pongezi rasmi [emoji119]
Hahaaaa. Namimi nilipata msisimko mkali baada ya kuona ile logo 'War in Dar'Walichonifurahisha ni kuwa tulipofunga goli la nne, wakaweka ile picha ya WAR IN DAR! Aisee,the feeling I had ni kama nimepitishwa kwenye geti la kuingia Mbinguni.
Lilikuwa goli la 3Walichonifurahisha ni kuwa tulipofunga goli la nne, wakaweka ile picha ya WAR IN DAR! Aisee,the feeling I had ni kama nimepitishwa kwenye geti la kuingia Mbinguni.
Tutilee Ujuaji wakoTukiachana na uzalendo wa azam kuna upuuzi mwingi umefanyika leo, baadhi ya mageti hayakufunguliwa na kusababisha msongamano usio na maana kiasi cha watu wengi kuingia mpira umeshaanza wakati hili swala lilishajadiliwa kipindi cha nyuma.
Tukiachana na uzalendo wa azam kuna upuuzi mwingi umefanyika leo, baadhi ya mageti hayakufunguliwa na kusababisha msongamano usio na maana kiasi cha watu wengi kuingia mpira umeshaanza wakati hili swala lilishajadiliwa kipindi cha nyuma...
Kuenjoy match kama hizi uangalie sehemu yenye watu wengi sio ujifungie ndani peke ako, sehemu niliyokuepo imepigwa shangwe as if watu wako uwanjani.Sehemu nilipokuwa ilizuka shangwe si ya kawaida! Azam wamefanya mapinduzi makubwa sana! Wanastahili pongezi rasmi [emoji119]
Nimeanza kuangalia mpira mwaka 79 sijui hata kama ulikuwa umezaliwa najua namna madhara ya kuingia uwanjani kipindi hiki Simba imepata bahati ya kuruhusiwa watazamajikuingiaWe mpira umeujulia ukubwani nn!?
Mashabk kuingia uwanjani ni jambo la kawaida duniani kote!...
Nimeanza kuangalia mpira mwaka 79 sijui hata kama ulikuwa umezaliwa najua namna madhara ya kuingia uwanjani kipindi hiki Simba imepata bahati ya kuruhusiwa watazamajikuingia
Ilikuwa goli latatu mkuu tulilipuka kwa furahaWalichonifurahisha ni kuwa tulipofunga goli la nne, wakaweka ile picha ya WAR IN DAR! Aisee,the feeling I had ni kama nimepitishwa kwenye geti la kuingia Mbinguni.
Nimeanza kuangalia mpira mwaka 79 sijui hata kama ulikuwa umezaliwa najua namna madhara ya kuingia uwanjani kipindi hiki Simba imepata bahati ya kuruhusiwa watazamajikuingia
Hapana ni la tatu waliweka zile picha kwamba ni uhakika war in dar mission complete ata wangepata moja bado simba ilikua inakwenda na dakk zimeisha.Walichonifurahisha ni kuwa tulipofunga goli la nne, wakaweka ile picha ya WAR IN DAR! Aisee,the feeling I had ni kama nimepitishwa kwenye geti la kuingia Mbinguni.
Sijui nani kaitengezeza ile bravo zake sana.Walichonifurahisha ni kuwa tulipofunga goli la nne, wakaweka ile picha ya WAR IN DAR! Aisee,the feeling I had ni kama nimepitishwa kwenye geti la kuingia Mbinguni.