Uzalendo wa kweli wa wabunge wetu

Uzalendo wa kweli wa wabunge wetu

NEWSINKP

Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
77
Reaction score
92
Wasalaam,

Kama kweli wabunge wetu wameguswa na maumivu ya hizi tozo wananchi wao tunazolalamikia, nashauri wajitolee kurudi bungeni Kwa zarura bila malipo wakat ammend hii sheria.

Ushauri tuu ili tuone kama walikusudia ama LA.
 
Back
Top Bottom